Recent-Post

KAULI YA RAISI YAWAFURAHISHA WANANCHI NA WAWEKEZAJI TANZANIA

               
Dr.  Denis Nyiraha ameeleza kuwa Raisi wa Jamuhuli ya Mungano Wa Tanzania  Mama Samia Suluhu Hassani amesema mafuta yashuke kwani ilikuwa na uchumii kwa wananchi nilazima mafuta yawe chini

Kauli hiyo amesema wakati akimnadi mgombea wa  CCM Katika Jimbo la Ushetu  wilayani Kahama Mkoani Shinyanga
                   Picha Na Dix Uvccm Taifa
Aidha Dr.Nyiraha amewaomba wananchi kuchagua CCM Kwajili ya maendeleo ya Taifa na Jamii  kwa Ujumla, Sababu CCM ndio wenye Ilani Inayotekelezwa katika Nchi hii.
 
Mwenyekiti Wa Vijana Mkoa Wa Singida Dr.  Denis Nyiraha amesema kuwa vijana ndio uti wa Mgongo wa Taifa na jamii kwa ujumla ,kwani vijana ndio nguvu kazi katika taifa lolote.
bandolamedia.co.tz
                                            

Post a Comment

0 Comments