Dr.Denis Nyiraha Mwenyeiti UVCCM (M) Mkoani Singida |
Mwnyekiti wa UVCCM Mkoani Singida Dr. Denis Nyeraha na Kamati Ya Utekelezaji Wameendelea na Ziara Ya Kutembelea Miradi mkoani Singida na kuwaasa Wananchi Kujitokeza katika shughuli mbali mbali katika ujenzi wa Miradi Inayoendelea kujengwa Hapa Nchini
Kamati Tendaji Ya Vijana (VCCM) Mkoan Singida Kwa Kushirikiana na Mkuu Wa Wilaya Ya Ikung,i Bw Jerry Muro Wameendelea kutembelea miradi mbali mbali katika Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida.
Mkuu Wa Wilaya Ya Ikungi Bw. Jerry Muro Amewahakikishia wananchi Wa Ikungu kuwa Raisi Wa Jamuhuri Ya Mungano Wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassani amesha waangizia pesa Katika Miradi mbali mbali Inayoendelea Wilani Humo.
Mkuu Wa Wilaya Ya Ikungu MH:.Jerry Muro |
Na Abdul Bandola ( Singida)
0 Comments