KAMPUNI YA AGRICOM AFRICA LTD ILIVYONOGESHA MASHINDANO YA SHIMIWI MKOANI MOROGORO,YAKABIDHIWA KOMBE LA HESHIMA YA UDHAMINI




Mwenyekiti WA SHIMIWI akimvisha Mtendaji Mkuu wa AGRICOM AFRICA LTD medali maalumu ya mdhamini mkuu wa Mashindano ya SHIMIWI 2021 yaliyomalizika Jana mjini Morogoro.
Mwenyekiti WA SHIMIWI akimkabidhi Mtendaji Mkuu wa AGRICOM AFRICA LTD kombe maalumu la mdhamini mkuu wa Mashindano ya SHIMIWI 2021 yaliyomalizika Jana mjini Morogoro


Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe, Innocent Bashungwa akikabidhi Kadi ya umiliki wa Trekta mkulima aliyenunua Trekta Kwa ofa maalumu ya kipindi cha michezo ya SHIMIWI yaliyomalizika Jana mjini Morogoro Chini ya udhamini wa Agricom Africa ltd

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe, Innocent Bashungwa akizungumza jambo na Viongozi waandamizi wa Kampuni ya Agricom Africa ltd





Waziri Bashungwa,Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mh. Martin Shigela pamoja na Mkuu wa wilaya ya Morogoro Mhe. Albert Msando, wakihakiki na kumkabidhi trekta mteja wa Agricom Africa ltd ambaye ndiye mdhamini mkuu wa SHIMIWI



Waziri Bashungwa akiwasha trekta alilonunua mkulima wa Dakawa kutokea Agricom Africa ltd wakati wa mashindano ya SHIMIW,ambapo Agricom Africa ltd ndiye mdhamini mkuu wa Mashindano ya SHIMIWI kwa mwaka 2021.

Baadhi yawafanyakazi wa Agricom Africa wakiwa na baadhi ya Wateja waliofika kununua Zana za kilimo kwenye mashindano ya wizara zote za serikali SHIMIWI.yalifanyika mjini Morogoro.
 

Mwenyekiti WA SHIMIWI akimvisha Mtendaji Mkuu wa AGRICOM AFRICA LTD medali maalumu ya mdhamini mkuu wa Mashindano ya SHIMIWI 2021 yaliyomalizika Jana mjini Morogoro.
Mwenyekiti WA SHIMIWI akimkabidhi Mtendaji Mkuu wa AGRICOM AFRICA LTD kombe maalumu la mdhamini mkuu wa Mashindano ya SHIMIWI 2021 yaliyomalizika Jana mjini Morogoro

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe, Innocent Bashungwa  akikabidhi Kadi ya umiliki  wa Trekta mkulima aliyenunua Trekta Kwa ofa maalumu ya kipindi cha michezo ya SHIMIWI yaliyomalizika Jana mjini Morogoro Chini ya udhamini wa Agricom Africa ltd
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe, Innocent Bashungwa  akizungumza jambo na Viongozi waandamizi wa Kampuni ya Agricom Africa ltd


 Waziri Bashungwa,Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mh. Martin Shigela pamoja na Mkuu wa wilaya ya Morogoro Mhe. Albert Msando, wakihakiki na kumkabidhi trekta mteja wa Agricom Africa ltd ambaye ndiye mdhamini mkuu wa SHIMIWI

Waziri Bashungwa akiwasha trekta alilonunua mkulima wa Dakawa kutokea Agricom Africa ltd wakati wa mashindano ya SHIMIW,ambapo Agricom Africa ltd ndiye mdhamini mkuu wa Mashindano ya SHIMIWI kwa mwaka 2021.

Baadhi yawafanyakazi wa Agricom Africa wakiwa na  baadhi ya Wateja  waliofika kununua Zana za kilimo kwenye mashindano ya wizara zote za serikali SHIMIWI.yalifanyika mjini Morogoro. 

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments