Mkuu Wa Wilaya ya Mkalama Bi Sophia Kizigo Amewaambia wawakilishi wa Mkoa Wa Singida Baada ya kuwa Mabingwa Wa mkoa Wajui Wamebeba dhamana kubwa Ya Mkoa Katika Mashindano Ya Kombe La Shirikisho Kwahiyo Hawana Budi Ya kubambana Kwa Nguvu Zote Ilikuendelea kujenge Heshima Kubwa Kitaifa na Kimataifa.
0 Comments