Bodi yaingilia kati ishu mastaa wa Simba kuugua ghafla

Bodi ya Ligi (TPLB) imeamua kutuma jopo la madaktari, chini ya Dk Kaja, kwenda Kagera ili kuthibitisha kama kweli wachezaji wa Simba wanaumwa kabla ya kutoa maamuzi ya kuahirisha mchezo dhidi ya Kagera.

Inadaiwa maamuzi hayo yametokana na taarifa kwamba wachezaji sita waliougua waliachwa Dar tofauti na maelezo yanayotolew na Simba kuwa wachezaji 13 waliopo Kagera wanaumwa, japo Jonas Mkude na Hassan Dilunga  ndio wanaelezwa wameugua gafla wakiwa mkoani humo.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments