Mkutano Mkuu Wa Kawaida Wa Chama Cha Mpira Wa Miguu Mkoa Wa Singida Uliofanyika Kwa kuzingatia Kanuni Na Kufanya Uchaguzu Wa Nafasi zilizo kuwa wazi Za Wajumbe Na Muweka Hazina (MUHASIBU), Mwenyekiti Wa Chama Cha mpira Wa miguu Mkoa Wa Singid Bw. Hamisi Kitila Amewashukulu Wa jumbe na Wadau Mbali Mbali Kwa Kushilikiana Na Serikali Kwa Kuendeleza Michezo Mkoani Singida
Aidha Mwenyekiti Bw. Kitila Ameeleza Kuwa Vyama Vya Wilaya Kuendeleza Mshikamano Na Wadau Wa Soka Na Serikali Kwa Kupeana Muongozo Na Ratiba Mbali Mbali Za Shughuli Za Michezo Kwajili Ya Kufanya Kazi Pamoja Na Kuendeleza Michezo Kwajili Ya Jamii Na Taifa Kwa Ujumla.
0 Comments