KAZI INAENDELEA MABORESHO YA KIWANJA (LITI)ZAMANI NAMFUA


                
 Mkuu Wa Mkoa Wa Singida Dkt. Binilith Mahenge Na Mwenyekiti Wa Chama Cha Mpindizi Alhaji Juma Kilimba Walifika Kiwanjani Ilikutatua  Changamoto  Zilizopeleka Kazi Kusimama Katika Marekebisho Yanayoendelea Katika  Kiwanja Cha Liti Zamani Namfua.  
                 
Baada Ya Kutatua Changamoto Hizo Mkuu Wa Mkoa Dkt. Mahenge Wakiwa Na Mwenyekiti Wa Chama Cha Mapinduzi Alhaji Kilimba ,Walioambatana Na Meya Wa Singida Manispaa Bi Yagi Kiaaratu Na Mwenyekiti Wa Chama Cha Mpira Wa Miguu Mkoa Wa Singiga Bw. Hamis Kitila,Baada Ya Kuwasikiliza Wataalam Wanaendelea kufanya Kazi Katika Kiwanja Hicho Walisema Ifikapo Mwezi Wa Pili Kiwanja Kitakuwa Tayari Kwa Matumizi  

            
Na Mwandishi Maalum

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments