Baada Ya Mapambano Ya Mda Mrefu Katika Mashindano Ya Mtatulu Cup Leo Ndio Atapatikana Bingwa Wa Mashindano Hayo Mbele Waziri Wa Sanaa Na Utamaduni na Michezo Innoccent Bashungwa,Fainal Hiyo Itachezwa Leo Katika Dimba La Secondary Ya Ikungi Mkoani Singida.Chama Cha Mpira Wa Miguu Mkaoni Singida (SIREFA) Kina Waarifu Wadau na Wapenzi Wa Soko Mkoani Singida Na Maeneo ya Jirani Kujitokeza katika Mchezo Huo Wa Fainal Ilikujione Vipaji vilivyo Sheheni Mkoani Singida.
Na Kwa Upande Wa Timu Za Ligi Draja La Pili, La Kwanza NA Ligi Kuu Soka Tanzania Bara Ni Muda Muafaka Kwa Wakati huu Wa Dirisha Dogo Kupata Vipaji Vipya Kupitia Mashindano Ya Mtatulu Cup.
Na Mwandish Maalum Wa Bandolamedia.co.tz
TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI
Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516
0 Comments