Chama Cha Mpira Wa Miguu Mkaoni Singida (SIREFA) Kina Waarifu Wadau na Wapenzi Wa Soko Mkoani Singida Na Maeneo ya Jirani Kujitokeza katika Mchezo Huo Wa Fainal Ilikujione Vipaji vilivyo Sheheni Mkoani Singida.
Na Kwa Upande Wa Timu Za Ligi Draja La Pili, La Kwanza NA Ligi Kuu Soka Tanzania Bara Ni Muda Muafaka Kwa Wakati huu Wa Dirisha Dogo Kupata Vipaji Vipya Kupitia Mashindano Ya Mtatulu Cup.
Na Mwandish Maalum Wa Bandolamedia.co.tz
0 Comments