MKUTANO MKUU WA MWAKA WA CHAMA CHA MPIRA WA MIGUU MKOA WA SINGIDA TAREHE 31/12/2021


Chama Cha Mpira Wa Miguu Mkoa Wa Singida (SIREFA)  Kitakuwa Na mkutano mkuu wa Chama Cha Mpira Wa Miguu Mkoa Wa Singida Ambao Utakao Fanyika Katika Ukumbi Wa Singida Manispaa ,Siku Ya Tarehe 31/12/2021 ,Utaanza Majira Ya Saa Tatu Kamili Asubuhi

 Wako Abdul Bandola  Ramadhani Afisa Habari Na Msemaji Wa Chama Cha Mpira Wa Miguu Mkoa Wa Singida.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments