Chama Cha Mpira Wa Miguu Mkoa Wa Singida (SIREFA) Kitakuwa Na mkutano mkuu wa Chama Cha Mpira Wa Miguu Mkoa Wa Singida Ambao Utakao Fanyika Katika Ukumbi Wa Singida Manispaa ,Siku Ya Tarehe 31/12/2021 ,Utaanza Majira Ya Saa Tatu Kamili Asubuhi
Wako Abdul Bandola Ramadhani Afisa Habari Na Msemaji Wa Chama Cha Mpira Wa Miguu Mkoa Wa Singida.
0 Comments