Alhajin Kilimba Amesema Hayo Wakati Akiongea Na Bandolamedia.co.tz Leo Ofisi Kwake
Aidha Alhaji Kilimba amewaomba Wananchi Kuwa Makini Katika Sikukuu hizi Za Mikesha, na Kuendelea kuzingatia taratibu na Miongozo mbali Mbali itakayo kuwa inatolewa na Viongozi Katika Maeneo Yetu Tunayoishi.
Mwenyekiti Wa Ccm Mkoa Wa Singida Alhaji Juma Kilimba Anawatakia Wananchi Wote Wa Mkoa Wa Singida Na Tanzania Kwa Ujumla, Sherehe Njema Na Tukiwa Katika Sherehe Hizi Za Mwisho Wa Mwaka Tusisahau Kujikinga Na UVIKO,Pia CCM IMARA KWA WATU WENYE AFYA SALAMA
Na Mwandishi Wetu Maalum
1 Comments
Hiki Ni Chama kipya au.
ReplyDelete