MRATIBU WA SARA BANKS AFUNGUA MWAKA 2022 KWA KUWAWEZESHA WATOTO WA KIKE KWEND...


      
Tukikamlisha zoezi la kuviwezesha vikundi saba 7 vya wamama wajasirimali wilaya ya Longido 11Jan 2022. Ambapo wamama hao wameweza kujipatia m 21 kama mitaji ya biashara zao. 

                               
Mesha Singolyo ambaye ni mratibu wa mradi huu wa wamama amesema silaha pekee ya kuondokana na umaskini ni wamama kuweza kukataaa kuwa tegemezi. 

Hivyo amewaasa wanawake wa jamii ya kifugajii kufanya kazi kwa bidii na kujifunza nidhamu ya pesa kwa kuweka akiba kidogo ya wanachopata.
                                  Kumiliki pesa inakupa nguvu ya kufanya maamuzi na kusimamia majukum yako kama mama kwa amani. kutokuwa tegemezi kuna leta afya ya ndoa, kunaongeza upendo kwenye familia kunaongeza utu, thamani na heshima ya mwanamke kwenye jamiii.            

Kikundi Cha Wamama Kikipokea Pesa
                                       

Wanafunzi Wakipokea  Mahitaji Yao Ya shule
                                                         
Na Mwandisi Wetu Maalum 

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments