SIMBA SC YAMTANGAZA AHMED ALLY AFISA MAWASILIANO WAO MPYA

 

                 NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM


KLABU ya Simba SC imemtambulisha Ahmed Ally kuwa ndio meneja mawasiliano wa klabu hiyo baada ya nafasi hiyo kukaa muda mrefu bila mtu mara baada ya kuondoka Haji Manara kutimkia kwa mahasimu wao Yanga hivi karibuni.

Ahmed Ally kabla ya nafasi hiyo amewahi kufanya kazi Sahara Media (Star TV & Radio Free) pamoja na Azam Media kabla ya leo kutangazwa Simba Sc.

Kwenye kurasa za mitandao ya kijamii Simba Sc imeandika "Ni kijana mchapakazi, mwenye uhusiano mzuri na watu wa aina zote, mtanashati na kubwa zaidi mapenzi yake kwa Simba hayapimiki".

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments