SIMBA SC YATINGA NUSU FAINALI, YALAZIMISHWA SARE 0-0 MLANDEGE FC

 



NA EMMANUEL MBATILO

KLABU ya Simba imelazimishwa sare dhidi ya Mlandege Fc katika michuano ya Mapinduzi Cup yanayoendelea visiwani Zanzibar.

Kwa matokeo hayo Simba Sc imefanikiwa kufuzu hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo na kuungana na mahasimu wao Yanga pamoja na Azam ambao nao wameingia kwenye hatua hiyo.

Simba Sc iliwachezesha baadhi ya wachezaji ambao kwenye mechi iliyopita hawakuwepo kutokana na kupewa mapumziko.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments