YANGA SC YALAZIMISHWA SARE 2-2 NA KMKM MAPINDUZI CUP




NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM

Yanga SC imelazimishwa sare ya 2-2 na timu ya KMKM katika mashindano ya Mapinduzi Cup yanayoendelea visiwani Zanzibar.

Yanga imefuzu nusu fainali kwa tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa.

Mabao ya Yanga yaliwekwa kimyani na Heritie Makambo katika kipindi cha pili na bao lingine likifungwa na Feisal Salumu ambaye ndiye nyota wa mchezo huo.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments