CHAMA AIWEZESHA SIMBA SC KUONDOKA NA POINTI TATU DHIDI YA MBEYA KWANZA

 


Klabu ya Simba Sc imezidi kutoa DOZI ligi Kuu NBC mara baada ya kufanikiwa kuichapa Mbeya Kwanza bao 1-0 kwenye dimba la Benjamini Mkapa Jijini Dar es Salaam.

Simba Sc ambayo inashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi Kuu, imepata bao kupitia kwa kiungo mshambuliaji Clautos Chama dakika za lala salama.

Mechi ilienda mapumziko timu zote zikiwa hazijapata kitu ingawa Simba Sc ilioneokana kutawala mchezo huo kuanzia mwanzo

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments