CHONGOLO AONGOZA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO MUSOMA MKOANI MARA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akifurahia jambo na Mwanasiasa Mkongwe aliyewahi kushika nyadhifa mbalimbali  nchini, Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Mstaafu, Kapteni John Chiligati mara baada ya kumaliza matembezi ya mshikamano kwenye kilele cha maadhimisho ya sherehe za miaka 45 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi yanayofanyika Kitaifa mkoani Mara.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akizungumza mara baada ya matembezi ya mshikamano kuelekea kilele cha maadhimisho ya sherehe za miaka 45 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi yanayofanyika Kitaifa mkoani Mara.(Picha na CCM Makao Makuu)
 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo aongoza matembezi ya mshikamano kwenye kilele cha maadhimisho ya sherehe za miaka 45 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi yanayofanyika Kitaifa mkoani Mara.(CCM Makao Makuu)


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo, Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (Bara) Ndugu Christina Mndeme (kushoto), Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson, Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Pinda (kulia) wakiwa tayari kuanza matembezi ya mshikamano kuelekea kilele cha maadhimisho ya sherehe za miaka 45 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi yanayofanyika Kitaifa mkoani Mara.(CCM Makao Makuu)








 

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments