Profesa Kitila: Mfumo wa elimu ufumuliwe, umepitwa na wakati

Mbunge wa Ubungo (CCM), Profesa Kitila Mkumbo amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan kuunda tume maalumu ya kuupitia mfumo wa elimu nchini, kwa kuwa mfumo wa sasa umepitwa na wakati.

Akizungumza wiki iliyopita katika mahojiano maalumu na Mwananchi jijini Dodoma, Profesa Mkumbo amesema mfumo uliopo hauwafundishi wahitimu ujuzi wala stadi zozote za kujitegemea kimaisha, badala yake umelenga kumwezesha mwanafunzi kutoka ngazi moja kwenda ngazi inayofuata

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments