Akizungumza wiki iliyopita katika mahojiano maalumu na Mwananchi jijini Dodoma, Profesa Mkumbo amesema mfumo uliopo hauwafundishi wahitimu ujuzi wala stadi zozote za kujitegemea kimaisha, badala yake umelenga kumwezesha mwanafunzi kutoka ngazi moja kwenda ngazi inayofuata
0 Comments