Mbunge wa Ubungo (CCM), Profesa Kitila Mkumbo amemshauri Rais Samia Suluhu Hassan kuunda tume maalumu ya kuupitia mfumo wa elimu nchini, kwa kuwa mfumo wa sasa umepitwa na wakati.Akizungumza wiki iliyopita katika mahojiano maalumu na Mwananchi jijini Dodoma, Profesa Mkumbo amesema mfumo uliopo hauwafundishi wahitimu ujuzi wala stadi zozote za kujitegemea kimaisha, badala yake umelenga kumwezesha mwanafunzi kutoka ngazi moja kwenda ngazi inayofuata
TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI
Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516
0 Comments