RAIS SAMIA SULUHU AONGOZA KIKAO MAALUM CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA KILICHOFANYIKA WHITE HOUSE JIJINI DODOMA

  Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM kilichokutana leo tarehe 08 Februari 2022 katika ukumbi wa Halmashauri Kuu ya CCM Jijini Dodoma.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments