SHAFFIH DAUDA AFUNGIWA KUJIHUSISHA NA MICHEZO

TFF imemfungia Shaffih Dauda kujihusisha na shughuli za mpira wa miguu ndani na nje ya nchi kwa kipindi cha miaka mitano na faini ya TZS milioni 6, huku Hawaiju Gantala akifungiwa maisha.

Wamepewa adhabu hizo kwa kwenda kinyume na Kanuni za Maadili, na Kanuni za Utii za TFF.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments