TFF YATHIBITISHA GSM KUJIONDOA UDHAMINI LIGI KUU YA NBC

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limethibitisha kuwa leo Feb 07, 2022 limepokea barua ya kuvunja mkataba wa udhamini mwenza wa Ligi Kuu ya NBC kutoka GSM “Tunaifanyia kazi barua hiyo na tutatoa taarifa kwa Wadau wa mpira wa miguu kuhusu suala hilo"


TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments