WABUNGE WAMPITISHA TULIA ACKSON KITI CHA USPIKA

 

Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamemchagua Dkt.Tulia Ackson (CCM) kuwa Spika wa bunge hilo kwa asilimia 100.

Jumla ya kura 376 zimepigwa na wabunge hao ambao ni sana na ASILIMIA 100 kura zote zikienda kwa Dkt Tulia Ackson.

Kiti cha USPIKA kilikuwa na wagombea tisa wagombea hao ni Abdullah Mohammed Said (NRA), Mhandisi Aivan Jackson Maganza (TLP), David Daud Mwaijojele (CCK), Georges Gabriel Bussungu (ADA -TEA), Kunje Ngombale Mwiru (SAU),

Wengine Maimuna Said Kassim (ADC), Ndonge Said Ndonge (AAFP), Saidoun Abrahamani Khatib (DP) na Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments