Kauli Hiyo Imetolewa Na Mwenyekiti Wa Chama Cha Mapinduzi Ccm Mkoa Wa Singida Alhaji Juma Kilimba Wakati Wa Ziara Ya Kamati Ya Siasa Mkoa, Inayoendelea Kukagua miradi Mbali Mbali Mkaoni Singida.
Mwenyekiti Wa Ccm Mkoa Wa Singida Alhaji Juma Kilimba Amewaeleza Wananchi Wa Kijiji Cha Mwasutianga Katika Kataa Ya Irisya Wilayani Ikungi Kuwa Miradi Ni Yakwao Na Si Miradi Ya Vingozi Kwahiyo Hawana Budi Ya Kushirikiana Na serikali ili Kazi Ziende Halaka Na Kwa Ufanisi ,Na Nibaada Ya Kuwakuta Wananchi Wakiendelea Kufanya Kazi Katika Mradi Wa Kituo Cha Afya Kinachojengwa Irisya, Na Kikimalizika Kitaweza kuhudumia zaida ya Wakazi 30,000/= Katika Maeneo Hayo.
Wanachi Walio Jitokeza Katika Shughuli za Ujenzi Wa Zahanati Irisya |
Mkuu Wa Mkoa Wa Singida Dr. Binilith Mahenge Amepongeza Kamati Ya Siasa Kwa Kupitia Kwa Mwenyekiti Wa Chama Cha Mapinduzi Ccm mkoa Wa Singida Alhaji Juma Kilimba Kwa Kusema Anafalijika Sana Anapoona Kamati Zikiendelea Kufika Katika Miradi Mbali Mabali Mkoani Singida Na Kusema amejilithisha na Ujenzi Unaoendelea Katika Kituo Cha Afya Irisya Kwa kuona Utendaji Kazi Unaendelea Na kuona Watu Wengi Wanaojitokeza Katika Ufanyaji Kazi na Usimamizi Unaoendelea Katika Mradi huo.
Msingii Wa Zahanati Ya Irisya |
Majengo Ya Shule Ya Msingi Kintandaa |
Tazama Picha Mbali Mbali Za Matukio Katika Ziara Ya Kamati Ya Siasa Ya Mkoa Wa Singida Iliyofanyika Katika Wilaya Ikungi Mkoani Singida
Mkurugenzi Na Kaimu Mkuu Wa Wilaya Ya Ikungi |
0 Comments