Kwa Sensa Ya Mwaka 2012, Vijana Wa Singida Ni 822,382 Sawa
Na 60% Ya Wakazi Takribani
1,370,637.Hivyo Wanufaika Wa Kwanza Wa Miradi Yote Ya Maendeleo Ni Vijana, Rais
wa Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Ameeongeza Mikopo Ya
Elimu Ya Juu Toka Bilioni 464 Hadi Billioni 570 Sawa Na Ongezeko La Bilioni 106 IkiwaNi Ongezeko La
Wanufaika 18,000;;; Leo migomo Ya Vyuo
Na Vyuo Vikuu Ni Hostoria Tena
Tanzania.
Kauli Hiyo Imesemwa Na Mwenyekiti Wa Umoja Wa Vijana Ccm
Mkoa Wa Singida(UVCCM) DR. Denis Nyiraha Wakati Akizungumza Na Waandishi Wa Habari
Katika Ukumbi Wa Chama Cha CCM Mkoa Wa Singida mnamo tarehe 2-03-2022.
Dr. Nyiraha Ameeleza
Ndani Ya Mwaka Mmoja Wa Rais Samia Katika Uongozi Wake Jumla Ya Vikundi 221 Vya
Vijana Vimenufaika Na Mikopo Ya Asilimia 4% Ya Mapato Ya Halmashauri ,Hivyo
Kufikia Lengo Kwa Asilimia 90% Mkoani Singida
Aidha Mwenyekiti Uvccm Mkoa Wa Singida Denis Nyiraha Amesema
Kuwa Nchi Yetu Imebarikiwa Kwa Kuwa Na Rais Ambaye Ni Mama Mlezi ,, Mmama
Mchapa Kazi Na Wa Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania ,Tutegemee Mwendelezo Wa Malezi
Bora ,Kishindo Na Uongozi Mathubuti ,Mpaka Sasa Rais Samia Amelipia Ndege 5 Ili
Kuendelea Kuimarisha Shirika La Ndege ATCL Na Katika Ndege Hizo Moja Ni Ya Mizingo (Cargo).
Na Abdul Bandola Singida
0 Comments