Orodha ya Makatibu wa Wazazi Wilaya walioteuliwa na baadhi ya watumishi wanaokwenda makao makuu

 *Pia wapo waliohamishwa vituo vya kazi

KIKAO Maalum cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichokutana Dodoma tarehe 30, Machi, 2022 pamoja na mambo mengine lkilifanya uteuzi wa watendaji wa Jumuiya ya Wazazi ngazi ya wilaya.Sambamba na kufanya uhamisho kwa baadhi ya watendaji wa wilaya na makao makuu kama ilivyoorodheshwa kupitia taarifa hii iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu Bara, Daniel George kwa niaba ya Katibu Mkuu Umoja wa Wazazi;











TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments