RAIS SAMIA AKAGUA MAANDALIZI YA MKUTANO MKUU MAALUMU WA CCM UTAKAOFANYIKA KESHO

 

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan,  leo tarehe 31 Machi, 2022 amekagua  maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM katika Ukumbi wa Mikutano wa  Jakaya  Kikwete Jijini Dodoma utakaofanyika kesho April 01, 2022.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments