MWENYEKITI WA CCM,RAIS SAMIA ASHIRIKI KUPIGA KURA KUCHAGUA VIONGOZI CHAMWINO JIJINI DODOMA LEO

 


 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipiga kura, kuchagua Viongozi wa Shina namba 1, Tawi la Chamwino, Wilayani Chamwino, Dodoma leo tarehe 30, Aprili 2022.(Picha na Adam H. Mzee).


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipiga kura, kuchagua Viongozi wa Shina namba 1, Tawi la Chamwino, Wilayani Chamwino, Dodoma leo tarehe 30, Aprili 2022.(Picha na Adam H. Mzee)
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Katibu Mkuu wa Chama hicho Ndugu Daniel Chongolo (kushoto)na Katibu wa NEC Organizesheni Ndugu Moudline Cyrus Castico (kulia) wakishangilia kama ishara ya uchaguzi wa Viongozi kwenda salama katika Shina namba 1, Tawi la Chamwino, Wilayani Chamwino, Dodoma leo tarehe 30, Aprili 2022.(Picha na Adam H. Mzee)



Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia mara baada ya kupiga kura na kuchagua Viongozi wa Shina namba 1, Tawi la Chamwino, Wilayani Chamwino, Dodoma leo tarehe 30, Aprili 2022.(Picha na Adam H. Mzee)



TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments