Yes...Sasa Ni Zamu Ya Zanzibar Baada Ya Kuzinduliwa Marekani Ikafata Arusha Sasa Ni Rasmi Rais Wa Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh. @samia_suluhu_hassan Anakwenda Zanzibar Na Jopo Zima La Wasanii Wa Bongomovies Na Viongozi Wote Wakiongozwa Na Mwenyekiti Wa Mama Ongea Na Mwanao @stevenyerere2 Kuizindua The Royal Tour.
Hii Sio Ya Kukosa Oyaaa Zanzibar Eeeh 🗣️ Tunakuja May 07 2022
𝐌𝐀𝐌𝐀 𝐎𝐍𝐆𝐄𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐖𝐀𝐍𝐀𝐎 𝐓𝐔𝐏𝐎 𝐏𝐀𝐌𝐎𝐉𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐌𝐀.
TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI
Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516
0 Comments