Hii Ni Wiki Ya Nishati Nchini 23 May Hadi 26 May 2022 Waziri Na Naibu Waziri Nishati Wakiendelea Kukagua mabanda Kwenye Viwanja Vya Bunge Mjini Dodoma Leo
Naibu Waziri Wa Nishati, Steven Byabata (wapili Kutoka Kulia) Akizungumza Na Wataalam Wa Shirika La Umeme (Tanesco) Mkoa Wa Morogoro Wakati Alipokuwa Anakagua Mabanda Kwenye Viwanja Vya Bunge Mjini Dodoma Leo Jumatatu May 23,2022. Hii Ni Wiki Ya Nishati Nchini( Picha Na Timotheo Mathayo)
Waziri Wa Nishati ,January Makamba(Kati Kati Alievaa Miwani) Naibu Waziri Wa Nishati, Steven Byabato (Wapili Kutoka Kulia) Na Katibu Mkuu Wizara Ya Nishati, Muhandisi Felshaesmi Mramba(Kulia) Wakikagua Mabanda Ya Maonyesho Katika Viwanja Vya Bunge Mjini Dodoma Ikiwa Ni Maadhimisho Ya Wiki Ya Nishati inayoanza leo Jumatatu 23may hadi 26 may Mwaka huu.
Waziri Wa Nishati January Makamba (Kulia ) Akisalimiana Na Wataalam Kutoka Shirika La Umeme Tanesco Mkoa Wa Morogoro Wakati Alipokuwa Anafanya Ukaguzi Wa Mabanda Mbali Mbali Ikiwa Ni Maadhimisho ya wiki Ya Nishati Inayoendelea Katika Viwanja Vya Bunge Mjini Dodoma
Habari Picha Na Timotheo Mathayo(Wizara Ya Nishati
TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI
Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516
0 Comments