KATIBU MKUU CHONGOLO AFUNGUA MAFUNZO KIBAHA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akihutubia wakati wa ufunguzi wa masomo awamu ya tatu katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere, Kibaha mkoani Pwani leo tarehe 25, Mei 2022.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akifuatilia hotuba ya Waziri wa Idara ya Mambo ya Nje ya CPC Comrade Song Tao (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa masomo awamu ya tatu katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere, Kibaha mkoani Pwani leo tarehe 25, Mei 2022.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments