MAONYESHO YA WIKI YA NISHATI YANAENDELEA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA

Mh.Mchael M Kembaki Mbunge Wa Jimbo La Tarime Mjini ,Akisain Kitabu Cha Wagaeni Mara Alipofika Kwenye Maonyesho Ya Wiki Ya Nishati Yanayoendelea Katika Viwanja Vya Bunge Mjini Dodoma May 24,2022
Mhe. Ally Kassinge Mbunge Wa Jimbo Kiwa, Akizungumza Na Wataalam  Kutoka Wizara Ya Nishati  Leo May 24,2022, Wakati Wa Wikii Ya Nishati Inayoendelea Katika Viwanja Vya Bunge Mjini Dodoma
Mhe. Dr. Rima Kabali Mbunge Kutoka Mkoa Wa Iringa Akisaini  Kitabu Cha  Wageni Katika Banda La Wizara Ya Nishati ,Leo 24 May 2022

 Mhe.Magreth S. Sitta Mbunge Wa Jimbo La Urambo Akisaini Kitabu Cha Wageni Kwenye Banda La Wizara Ya Nishati Leo 24 May 2022

 Habari Picha Na Timotheo Mathayo Dodoma

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments