MATUKIO KATIKA PICHA WAZIRI MKUU AKIWA BUNGENI LEO JIJINI DODOMA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Festo Dugange (katikati) na Naibu Waziri Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Geofrey Kasekenya (kulia), bungeni jijini Dodoma,



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako, bungeni jijini Dodoma,



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji. Dkt. Eliezer Feleshi, bungeni jijini Dodoma, Mei 12, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments