Nape Ataka Wanahabari Afrika Kusaidia Juhudi Za Maendeleo

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Technolojia ya habari, Nnape Nnauye amewataka waandishi wa habari barani Afrika, kusaidia maendeleo ya bara hilo lenye rasilimali nyingi lakini wananchi wake ni masikini.

Akizungumza leo Mei 2 katika warsha ya maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari Duniani (WPFD) jijini Arusha, Nnape amewataka wanahabari kubadilisha hali hiyo.

"Nadhani umefika wakati wanahabari kusimama kusaidia kubadilisha mambo hayo na inawezekana Kila Mmoja akiamua kutimiza wajibu wake," amesema Nape.


Nnape amesema wanahabari wanapojadili maendeleo ya sayansi na Technolojia ni muhimu kuona namna ambayo sekta ya habari inasaidia jamii kuziona fursa za mabadiliko ya technolojia.

Amesema hivi sasa haiwekani kuendelea kusubiri wakati wakati watu wengine wanakimbia.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Technolojia ya habari, Nnape Nnauye amewataka waandishi wa habari barani Afrika, kusaidia maendeleo ya bara hilo lenye rasilimali nyingi lakini wananchi wake ni masikini.

Akizungumza leo Mei 2 katika warsha ya maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari Duniani (WPFD) jijini Arusha, Nnape amewataka wanahabari kubadilisha hali hiyo.

"Nadhani umefika wakati wanahabari kusimama kusaidia kubadilisha mambo hayo na inawezekana Kila Mmoja akiamua kutimiza wajibu wake," amesema Nape.

Nnape amesema wanahabari wanapojadili maendeleo ya sayansi na Technolojia ni muhimu kuona namna ambayo sekta ya habari inasaidia jamii kuziona fursa za mabadiliko ya technolojia.

Amesema hivi sasa haiwezekani kuendelea kusubiri wakati watu wengine wanakimbia.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments