RAIS SAMIA APOKEA UJUMBE MAALUM KUTOKA KWA RAIS WA RWANDA PAUL KAGAME,IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.

  

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Ujumbe Maalumu kutoka kwa Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame uliowasilishwa kwake na Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda Mhe. Vincent Biruta Ikulu Jijini Dar es Salaam

  

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Mjumbe Maalum wa Rais wa Rwanda Paul Kagame, ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda Vincent Biruta mara baada ya kuwasilisha Ujumbe huo Ikulu Jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Mjumbe Maalum wa Rais wa Rwanda Paul Kagame, ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Vincent Biruta mara baada ya kuwasilisha Ujumbe huo Ikulu Jijini Dar es Salaam.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe Maalum wa Rais wa Rwanda Paul Kagame, ukiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Vincent Biruta na Wenyeji wao kutoka Tanzania mara baada ya kuwasilisha Ujumbe huo Ikulu Jijini Dar es Salaam 

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments