Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akionyeshwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha CNDD-FDD Ndugu Ntakarutimana Joseph mahala ambapo Mama Maria Nyerere alisaini Kitabu cha Kumbukumbu tarehe 7 Mei, 1963 mara baada ya kutembelea Jumba la Makumbusho Gitega .
Katibu Mkuu anakuwa Kiongozi wa pili kutembelea jumba la makumbusho Gitega nchini Burundi.
TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI
Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516
0 Comments