Gilbert Minja akizungumza na wataalam kutoka Wizara ya Nishati alipotembelea Banda la Wizara ya Nishati wakati wa Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar- es- Salaam (Sabasaba) yanayoendelea Jijini Dar es Salaam


 Meneja wa kampuni ya E-Motion Africa inayoshughulika na ubadilishaji wa mifumo ya Magari inayotumia Mafuta kwenda kwenye mfumo wa uendeshaji magari unaotumia Nishati ya Umeme iliyopo jijini Arusha, Mha. Gilbert Minja akizungumza na wataalam kutoka Wizara ya Nishati alipotembelea Banda la Wizara ya Nishati wakati wa Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar- es- Salaam (Sabasaba) yanayoendelea Jijini Dar es Salaam katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere tarehe 29, Juni 2022..

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments