Mwenyekiti wa UVCCM - Singida Dr. Denis Nyiraha awapa Nguvu Vijana….


Mwenyekiti wa UVCCM - Singida Dr. Denis Nyiraha awapa Nguvu Vijana baada Ya Kuwashawisi kugombea nafasi mbali mbali Zinazojitokeza Mbele Yaoa Kauli alisema Wakati  akizungumza na Wanahabari  Mkoani Singida, Dr Denis Nyiraha amesisitiza suala zima La Vijana Kujiamini na kugombea nafasi mbalimbali zinazojitokeza.
-
Aidha  alisisitiza juu ya Kuwatetea na Kuwajengea Uwezo Vijana wote ambao watakuwa tayari Kujitokeza kugombea nafasi yoyote ndani ya Chama cha Mapinduzi.
                     
“Nitakuwa Kijana wa Mwisho Kuwatetea Vijana Wenzangu, nitakuwa kijana wa Mwisho kuchoka kumtetea Kijana Mwenzangu anayegombea nafasi yoyote ile ambayo mimi nipo kwenye Mamlaka yake” >> Alisema Dr. Denis Nyiraha.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments