Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiwa amekaa kwenye kigoda tayari kuvishwa vazi la heshima na Wazee wa shina namba 2, tawi la Shishiu wilayani Maswa mkoa wa Simiyu.


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiwasalimia wakazi wa kata ya Malampaka waliojitokeza barabarani na kusimamisha msafara wake.




0 Comments