PICHA MBALIMBALI ZA MATUKIO YA KATIBU MKUU WA CCM DANIEL CHONGOLO,MASWA MKOANI SIMIYU

 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiwa amekaa kwenye kigoda tayari kuvishwa vazi la heshima na Wazee wa shina namba 2, tawi la Shishiu wilayani Maswa mkoa wa Simiyu.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiwa amekaa kwenye kigoda tayari kuvishwa vazi la heshima na Wazee wa shina namba 2, tawi la Shishiu wilayani Maswa mkoa wa Simiyu.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiwasalimia wakazi wa kata ya Malampaka waliojitokeza barabarani na kusimamisha msafara wake.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Simiyu David Kafulila (kulia) alipokuwa akielezea sababu za kupanda kwa bei za bidhaa katika kijiji cha Njia Panda, kata ya Isanga, Maswa mkoani Simiyu.




Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akizungumza na wananchi mara baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi ya kituo cha afya Shishiu wilayani Maswa mkoa wa Simiyu.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akizungumza wakati wa kikao na wakazi wa shina namba 3, Songe kata ya Shanwa, Maswa ikiwa siku yake ya kwanza ya ziara yake ya kukagua uhai wa Chama na shughuli za maendeleo mkoani Simiyu.
Sehemu ya Wajumbe wa Shina namba 3, Songe kata ya Shanwa waliojitokeza kumsikiliza Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments