Kamisaa wa Sensa afikisha elimu mkoani Songwe

 

Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, Mhe. Anne Makinda akizungumza na wananchi wa Tunduma mkoa wa Songwe wakati wa ziara ya kuhamasisha wananchi kushiriki Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika tarehe 23 Agosti, 2022.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments