MAKAMU WA RAIS AKIFUNGA MAONESHO YA SABASABA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO) mhandisi Prof. Fredrick Kahimba juu ya mtambo maalum wa kuchakata zao la Chikichi ili kuweza kupata mafuta ya Mawese wakati Makamu wa Rais alipotembelea Banda la Wizara ya Uwekezaji Viwanda na Biashara katika Maonesho ya 46 ya Kimataifa ya Sabasaba. Julai 13 ,2022.



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisiliza maelezo kutoka kwa washiriki mbalimbali katika Banda Maalum la Zanzibar wakati alipotembelea na kufunga Maonesho ya 46 ya Kimataifa ya Sabasaba Jijini Dar es salaam tarehe 13 Julai 2022.



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisiliza maelezo kutoka kwa washiriki mbalimbali katika Banda Maalum la wajasiriamali wanawake la Mama Anna Mkapa wakati alipotembelea na kufunga Maonesho ya 46 ya Kimataifa ya Sabasaba Jijini Dar es salaam tarehe 13 Julai 2022.



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia wakati wa kilele cha Maonesho ya 46 ya Kimataifa ya Sabasaba Jijini Dar es salaam tarehe 13 Julai 2022.



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akikabidhi zawadi kwa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwa kuwa kinara wa Banda bora la Maonesho ya Sabasaba kwa mwaka 2022 wakati wa kilele cha Maonesho ya 46 ya Kimataifa ya Sabasaba Jijini Dar es salaam tarehe 13 Julai 2022.



Mwenyekiti wa Bodi wa Tantrade Dkt. Ng’wanza Soko akimkabidhi zawadi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango kwa ushiriki wake katika Maonesho ya 46 ya Kimataifa ya Sabasaba Jijini Dar es salaam wakati wa ufungaji wa maonesho hayo leo tarehe 13 Julai 2022.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments