SINGIDA KUMEPAMBA MOTO VIJANA WAZIDI KUJITOKEZA KUCHUKUA FORM ZA KUGOMBEA NAFASI ZA UONGOZI NDANI YA CHAMA

Ngwigulu Nyerere Shigela Ni .Makamu mwenyekiti Tanzania Youth Eliet Community (TYEC)Na mratibu Sisi Tanzania Wilaya Ya Manyoni Pia  Mjumbe Wa Baraza La Vijana Wilaya Ya Manyono Mkoani Singida  Ni Miongoni Mwa Vijana Walichukua Form Ya Kugombea Wenyekiti Wa Vijana(UVCCM) Mkoa wa Singida 
Na  Haya Ni Baadhi Ya Mambo Aliyoyafanya 
*Kampeni ya COVID19 ilipotangazwa tu kuwa tanzania imeingia
*vifungashio mbadara ndani ya mkoa wa singinda na nje ya mkoa
*.semina za ujasiliamar mikoa mingi na tunaendelea tanzania
*Tuzo kwa wabunge wanaopigania vijan kwenye maeneo yao mkoa wa Kigoma uvinza,arusha,na nk
*Tuzo kwa wadau wa Maendeleo katika nchi yetu.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments