Wananchi Wametakiwa Kushiriki Kikamilifu Katika Zoezi La Sensa Ya Watu Na Makazi Linalotarajiwa Kufanyika Tarehe 23 Mwezi Wa Nane Mwaka Huu Katika Taifa La Tanzania
Kauli Hiyo Imesema Na Mjumbe Wa Halmashauli Kuu Mnec Wa Mkoa Wa Singida Yohana Msita Wakati Wa Zoezi La Kuchukuwa Form Za Kugombea Nafasi Hiyo Katika Jengo La Ccm Mkoani Singida.
Mjumbe Wa Halmashauli Kuu Mnec Wa Mkoa Wa Singida Yohana Msita
Bw. Yohana Msita amesema Zoezi La Sensa Na Makazi Linatowa Fulsa Kwa Serikali Kupanga Na Kuleta Maendelea Kwa Wananchi Kulingana Na Idadi Yao ,Hivyo Amewaomba Wananchi Kushiriki Na Kutoa Taarifa Sahihi ilikuweza Kuifanya Serikali Kuwaletea Maendeleo katika Nyanja Mbali Mbali Kwenye Jamii Na Taifa Kwaujumla.
Mjumbe Wa Halmashauli Kuu Mnec Wa Mkoa Wa Singida Yohana Msita
Na Abdul Bandola Singida
TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI
Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516
0 Comments