Wananchi Wametakiwa Kushiriki Kikamilifu Katika Zoezi La Sensa Ya Watu Na Makazi Linalotarajiwa Kufanyika Tarehe 23 Mwezi Wa Nane Mwaka Huu Katika Taifa La Tanzania
Kauli Hiyo Imesema Na Mjumbe Wa Halmashauli Kuu Mnec Wa Mkoa Wa Singida Yohana Msita Wakati Wa Zoezi La Kuchukuwa Form Za Kugombea Nafasi Hiyo Katika Jengo La Ccm Mkoani Singida.
Mjumbe Wa Halmashauli Kuu Mnec Wa Mkoa Wa Singida Yohana Msita |
Mjumbe Wa Halmashauli Kuu Mnec Wa Mkoa Wa Singida Yohana Msita |
Na Abdul Bandola Singida
0 Comments