WANAOTUMIA CHEO NA JINA LA KATIBU MKUU WA CCM KUTAPELI WATAHADHARISHWA ,WAKIBAINIKA KUCHUKULIWA HATUA KALI ZA KISHERIA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Daniel Chongolo anautahadharisha umma wa Watanzania kuwa makini na matapeli wa mtandaoni wanaotumia jina lake na dhamana ya cheo chake.

#CCMImara
#KaziIendelee

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments