Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Daniel Chongolo anautahadharisha umma wa Watanzania kuwa makini na matapeli wa mtandaoni wanaotumia jina lake na dhamana ya cheo chake.
#CCMImara
#KaziIendelee
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Daniel Chongolo anautahadharisha umma wa Watanzania kuwa makini na matapeli wa mtandaoni wanaotumia jina lake na dhamana ya cheo chake.
#CCMImara
#KaziIendelee
0 Comments