YANGA SC YALAMBA BILIONI 12 SPORTPESA

 

Rasmi Kampuni ya Kubashiri ya SportPesa imesaini mkataba wa Kihistoria na Young Africans SC wa Miaka Mitatu wenye thamani ya Sh. BIllion 12.335 kama mdhamini mkuu.

Yanga Sc imesaini mkataba huo mara baada ya mkataba wa awali kumalizika.

Fedha hizo Yanga Sc itakuwa inalamba Bilioni 4 kwa kila mwaka .

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments