Rais Samia Suluhu Hassan Azindua Jengo La Mama Na Mtoto Makete Mkoani Njombe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria kufungua rasmi Barabara ya Njombe - Makete km107.4 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha Lami. Hafla ya ufunguzi imefanyika Makete Mkoani Njombe tarehe 09 Agosti, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitembelea Barabara ya Njombe - Makete KM107.4 Mkoani Njombe mara baada ya kuifungua rasmi Barabara hiyo tarehe 09 Agosti, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Njombe mjini baada ya kutembelea na kukagua Ujenzi wa Jengo la Huduma ya Mama na Mtoto katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Njombe tarehe 09 Agosti, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Makete mara baada ya kufungua rasmi Barabara ya Njombe- Makete km107.4 Mkoani Njombe tarehe 09 Agosti, 2022. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria kufungua rasmi Barabara ya Njombe - Makete km107.4 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha Lami. Hafla ya ufunguzi imefanyika Makete Mkoani Njombe tarehe 09 Agosti, 2022.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments