Recent-Post

YANGA SC YAICHAPA COASTAL UNION, MAYELE AENDELEA KUTOA DOZI

KLABU ya Yanga imeendelea kutoa dozi kwenye ligi ya NBC mara baada ya hii leo kuichapa timu ya Coastal Union kwa mabao 2-0 mchezo ambao ulipigwa kwenye dimba la Shekhe Amri Abeid Jijini Arusha. 

Post a Comment

0 Comments