MAJALIWA AKAGUA UJENZI WA MRADI WA MAJI NA KITUO CHA POLISI WILAYANI RUANGWA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa mradi wa maji wa kijiji cha Namahema B wilayani Ruangwa mkoa wa Lindi, Oktoba 2, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ruangwa mkoa wa Lindi, Oktoba 2, 2022. Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Ruangwa, Hassan Ngoma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ruangwa mkoa wa Lindi, Oktoba 2, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments