SIMBA SC YALAZIMISHWA SARE 1-1 MBEYA CITY

 KLABU ya Simba imelazimishwa sare ya mabao 1-1 dhidi ya timu ya Mbeya City, mchezo ambao ulipigwa kwenye dimba la Sokoine Mbeya.

Katika mchezo huo Simba Sc ilianza kupata bao katika kipindi cha kwanza kupitia kwa kiungo wao Mzamiru Yasin dakika ya 15 na kuwapelaka mapumziko wakiwa wanaongoza kwa bao 1-0.

Kipindi cha pili klabu ya Mbeya City iliingia ikiwa inahitaji kusawazsiha bao kwani walicheza mpira wa kushambulia bila mafanikio mpaka dakika za lala salama kupata bao la kusawazisha kupitia kwa Tariq Seif dakika ya 78.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments