MAJALIWA AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA NCHINI ANGOLA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na  Rais wa Angola Joao Lourenco, alipowasili katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Interconinental kuhudhuria Mkutano  wa 10 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibian na Pasifiki (OACPS) unaofanyika, Angola jijini Luanda, Disemba 9, 2022. Waziri Mkuu anamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano huo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, walipokutana katika Ukumbi wa Kimataifa wa Interconinental mapema kabla ya kuanza kwa Mkutano wa 10 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiaya ya Nchi za Afrika, Karibian na Pasifiki (OACPS) unaofanyika Angola jijini Luanda, Disemba 9, 2022.Waziri Mkuu anamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye mkutano huo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, pamoja na viongozi wengine kutoka mataifa mbalimbali wakifuatilia hoja zinazotolewa katika Mkutano wa 10 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiaya ya Nchi za Afrika, Karibian na Pasifiki (OACPS) unaofanyika nchini Angola Disemba 9, 2022.. 
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi kutoka mataifa mbalimbali waliohudhuria Mkutano wa 10 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiaya ya Nchi za Afrika, Karibian na Pasifiki (OACPS) unaofanyika nchini Angola Disemba 9, 2022.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments