Kwa mujibu wa taarifa kutoka Ofisi ya Papa ya Holy See Press, Benedict XVI amefariki katika makazi yake katika monasteri ya Mater Ecclesiae ambayo aliichagua kama makazi yake baada ya kujiuzulu mwaka 2013.
Wameeleza katika kipindi cha uhai wake Papa Benedict XVI aliongoza kanisa Katoliki kwa muda usiozidi miaka minane hadi, mwaka 2013, akawa Papa wa kwanza kujiuzulu tangu Gregory XII mwaka 1415.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Ofisi ya Papa ya Holy See Press, Benedict XVI amefariki katika makazi yake katika monasteri ya Mater Ecclesiae ambayo aliichagua kama makazi yake baada ya kujiuzulu mwaka 2013.
Wameeleza katika kipindi cha uhai wake Papa Benedict XVI aliongoza kanisa Katoliki kwa muda usiozidi miaka minane hadi, mwaka 2013, akawa Papa wa kwanza kujiuzulu tangu Gregory XII mwaka 1415.
0 Comments