RAIS SAMIA ASHIRIKI MKUTANO WA VIONGOZI WA AFRIKA NA MAREKANI JIJINI WASHINGTON NCHINI MAREKANI

 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Malawi Dkt. Lazarus Chakwera ndani ya ukumbi wa Convention Centre Jijini Washington DC nchini Marekani wakati wa mkutano wa Viongozi wa Afrika na Marekani unaoendelea.

     

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (Kulia) akisikiliza kwa makini Hotuba ya Rais wa Marekani Mhe. Joe Biden (Kushoto) alipokua akizungumza na Viongozi wa Afrika katika ukumbi wa Convention Centre Jijini Washington DC nchini Marekani.

TUANDIKIE MAONI YAKO HAPA CHINI

Je, wewe ni Mfanyabiashara na Unatamani Kutangaza Bidhaa Zako Kupitia Tovuti/Blog Yetu? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia bandolaonline@gmail.com au WhatsaApp: + 255 766 365 560 au 0652 388 516

Post a Comment

0 Comments